Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Ndg wanaboard, naombeni ushauri wenu maana ninawazo la biashara.
Nipo Geita, mtaji nilio nao ni 25M, nimepata machine ya kukoboa 25t/h, ya Kisasa.
Ambayo wanauza 8700usd. Inakuwa na:
1. Elevators zake 2
2. Destoner
3. Cleaner.
Pia inaoption ya kupata brown rice.
Shida yangu ni ushauri, je nichukue hii ama ni chukue zile za kizamani ambazo ni kinu pekee. Naombeni sana ushauri wenu wa kujenga.
Hii nyeupe na green ndo 8700 USD.
Wanabod ndo hizo hapo sasa.
Hii ni 6000USD
Nipo Geita, mtaji nilio nao ni 25M, nimepata machine ya kukoboa 25t/h, ya Kisasa.
Ambayo wanauza 8700usd. Inakuwa na:
1. Elevators zake 2
2. Destoner
3. Cleaner.
Pia inaoption ya kupata brown rice.
Shida yangu ni ushauri, je nichukue hii ama ni chukue zile za kizamani ambazo ni kinu pekee. Naombeni sana ushauri wenu wa kujenga.
Hii nyeupe na green ndo 8700 USD.
Hii ni 6000USD