Nataka kufanya biashara ya kununua na kuuza ngozi ya ng'ombe

Nataka kufanya biashara ya kununua na kuuza ngozi ya ng'ombe

joss1973

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2010
Posts
405
Reaction score
102
Wakuu nataka kufanya biashara ya kuuza ngozi ya ng'ombe nchi China .naomba mnifahamisha njinsi ya kupata ngozi na njinsi ya kuichangua ngozi iliyo high qualinty .wapi kwa kuinunua ngozi ?bei zake?Na taratibu za kisheria zinafanya je??njinsi za ku-export ??gharama zake ??naomba anayefaham andokezee tafadhari wakuu .ili niweze kujiajiri na kutengeza ajira.tunaweza kuwacliana kwa whatsapp 0713 95 92 90
 
Back
Top Bottom