Nataka kufanya Biashara ya kuuza Asali..

Malingumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
616
Reaction score
429
Wadau,Nimemaliza chuo kikuu mwaka jana na napenda sana kujiajiri,naomba mwenye uelewa kidogo kuhusu Biashara ya Asali anijulishe.Nikiwa na maana ya soko(place & price),mtaji kiasi gani utafaa na aina ipi ya asali(mbichi au iliyochemshwa/ ya nyuki wadogo au wakubwa) ni nzuri kwenye soko.Nipo Dar es Salaam,Roughly nilijaribu kuulizia kama mtu akiwa analeta mjini itakuwa inamgharimu kiasi gani na atauza kwa sh ngapi kwa lita 20.kuna jamaa akaniambia kuwa unaweza kuuza kwa hata 130,000-140,000Tsh kwa lita 20. Mawazo yenu please!!
 
kwa kuongezea ni wapi naweza pata asali halisi na safi kwa bei ya jumla kwenye madum?...nami niipack kwa kuuza rejareja!
 
Kama unahitaji asali mbichi ninayo ninauza 120000 kwa dumu la lita ishirini;kiasi chochote unachohitaji utapata;niko Makambako-njombe;Mawasiliano 0688161818
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…