Nataka kufanya biashara ya kuuza mbuzi viwandani. Ni viwanda gani wanalipa vizuri?

Nataka kufanya biashara ya kuuza mbuzi viwandani. Ni viwanda gani wanalipa vizuri?

Joined
Jun 11, 2017
Posts
6
Reaction score
4
Nataka nifanye biashara ya kuuza mbuzi Ila niuze viwandani na sio mnadani, ni viwanda gani wanalipa vizuri na hawasumbui ulipaji? Na utaratibu ikoje?

Naomba muongozo
 
Inategemea uko sehemu gani! Kama uko Kanda ya kaskazini, Kuna kiwanda kiko maeneo ya wilaya ya longido mpakani namanga kinaitwa "eliya oversees" nafikiri ni wazuri, unaweza pata soko la uhakika.
 
Inategemea uko sehemu gani! Kama uko Kanda ya kaskazini, Kuna kiwanda kiko maeneo ya wilaya ya longido mpakani namanga kinaitwa "eliya oversees" nafikiri ni wazuri, unaweza pata soko la uhakika.
Nipo Tanga.
Ahsante
 
Mods
naomba huu uzi upelekwe kwenye uzi. kama unamtaji fanya biashara hii ya mbuzi utakuja ni shukuru

Itakua rahisi kwake kupata info
 
Hbr za ASB wadau nilipenda kujua bei ya mbuzi wa Nyama ikoje katika soko la vingunguti pia Pungu kwa mtu mwenye update,
 
Ngoja kesho nikuulizie kwa jamaa anayeenda mara kwa mara kwenye kiwanda cha kule Soga kibaha kama kuna info zozote atanipa nitakuuleza.
 
Back
Top Bottom