Nataka kufanya biashara ya ream papers (karatasi nyeupe zisizo na mistari)

allina

Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
76
Reaction score
13
wadau nataka niwe nafanya biashara ya rim msimu wa shule zinapofungua..wakati huo nakuwa nimeshapitia mashule kadhaa na kujihakikishia soko kabla shule hazjafunga..ivo nisaidien ambapo naweza pata duka la bei ya jumla kwa katoni,ili mi niweze kuuza tofauti na zinavouzwa stationary.,mi nipo Mbeya..
Nawasirisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…