nataka kufanya biashara

thanks bro for ua assistance

Mimi ni mzaliwa wa moja ya mikoa ya nyanda za juu, lakini simshauri mtu kuwekeza kwenye kilimo cha mahindi & Maharage hawezi kufanikiwa, Labda: vitunguu, Viazi mviringo, Nyanya.
 
Mimi ni mzaliwa wa moja ya mikoa ya nyanda za juu, lakini simshauri mtu kuwekeza kwenye kilimo cha mahindi & Maharage hawezi kufanikiwa, Labda: vitunguu, Viazi mviringo, Nyanya.

Huko Nyanda za Juu Kusini ebu sema ni mkoa gani hasa, na wewe mara ya mwisho kufika kule ni lini?
Rekebisha kauli yako, UNAPOTOSHA Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…