Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Heshima kwenu wakuu.
Nimetegeneza bada la kutosha kuku kama 30+ nia yangu ilikuwa nifuge kuku wa kienyeji na kuna mtu ameniahidi kuniletea toka shinyanga vijijini kwa 5000@ na nilipanga nianze na majike 10 na jogoo 1 .
ila sasa nimevutiwa na yale makuku chotara makubwa kubwa hivi nataka kujua ni wepi rahisi kufuga na wastahimilivu wa magonjwa?
Naomba mawazo yenu ikiwa ni pamoja vitabu gani vizuri ninunue kwa ajili ya ufugaji wakuku
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
NB: kuna ulazima kuwafungulia kuku kula nje ya banda na kutowafungulia watakosa nini katika miili yao?
Nimetegeneza bada la kutosha kuku kama 30+ nia yangu ilikuwa nifuge kuku wa kienyeji na kuna mtu ameniahidi kuniletea toka shinyanga vijijini kwa 5000@ na nilipanga nianze na majike 10 na jogoo 1 .
ila sasa nimevutiwa na yale makuku chotara makubwa kubwa hivi nataka kujua ni wepi rahisi kufuga na wastahimilivu wa magonjwa?
Naomba mawazo yenu ikiwa ni pamoja vitabu gani vizuri ninunue kwa ajili ya ufugaji wakuku
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
NB: kuna ulazima kuwafungulia kuku kula nje ya banda na kutowafungulia watakosa nini katika miili yao?