Nataka kufuga kuku wa nyama, Mwenye uzoefu naomba anishauri

Nataka kufuga kuku wa nyama, Mwenye uzoefu naomba anishauri

Cruel mpole

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
282
Reaction score
106
Salam aleikum,bwana Yesu asifiwe.AMEN.Nimekaa chini nikafikiria nianze kufuga kuku hawa coz nimeona ni dili hapa dar.Hivi sasa nimeanza kujenga banda lakini naona kama nimekurupuka coz sijapata ushauri kutoka kwa watu,Hivyo kama una utalaam wa kufuga,jaribu kunidadabulia nipate mautundu na mimi niweze kuwahudumia pindi nitakapo waweka bandani.
 
mkuu mimi ni mfugaji kusema kweli wanatoa sana hawa kuku cha msingi ni kuzingatia utunzaji ikiwa ni kuwapa chakula chao original kuzingatia ratiba za chanjo pia kutafta masoko, asikwambie mtu dar watu wanakula kuku balaa yaani
 
mkuu mimi ni mfugaji kusema kweli wanatoa sana hawa kuku cha msingi ni kuzingatia utunzaji ikiwa ni kuwapa chakula chao original kuzingatia ratiba za chanjo pia kutafta masoko, asikwambie mtu dar watu wanakula kuku balaa yaani

chanjo yao inakuwa vipi.Ebu funguka kidogo nikuelewe.
 
Salam aleikum,bwana Yesu asifiwe.AMEN.Nimekaa chini nikafikiria nianze kufuga kuku hawa coz nimeona ni dili hapa dar.Hivi sasa nimeanza kujenga banda lakini naona kama nimekurupuka coz sijapata ushauri kutoka kwa watu,Hivyo kama una utalaam wa kufuga,jaribu kunidadabulia nipate mautundu na mimi niweze kuwahudumia pindi nitakapo waweka bandani.

Mbona mm umenichanganya unasema wadudu tena
 
Back
Top Bottom