R rungemba Member Joined Nov 23, 2013 Posts 76 Reaction score 6 Apr 21, 2015 #1 Nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa. Nifahamishwe Aina bora ni ipi.. Matunzo yake na ngombe moja anaetoa Lita 20_30 kwa siku. Pia naweza Kupata wap
Nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa. Nifahamishwe Aina bora ni ipi.. Matunzo yake na ngombe moja anaetoa Lita 20_30 kwa siku. Pia naweza Kupata wap
M Malila JF-Expert Member Joined Dec 22, 2007 Posts 5,329 Reaction score 5,024 Apr 25, 2015 #2 Kama wewe Rungemba kwenu ni Rungemba niambie ili nikupe kitu cha kufanya ili uweze kufuga hao ng`ombe.
Kama wewe Rungemba kwenu ni Rungemba niambie ili nikupe kitu cha kufanya ili uweze kufuga hao ng`ombe.
Mbwa dume JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 5,934 Reaction score 10,206 Apr 25, 2015 #3 uandae kondoo wa kumlisha!
mchichaa JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 304 Reaction score 120 Apr 26, 2015 #4 Aanza na ngombe wa kawaida Zen badae unakuja kumpandikiza kwa kuchagua mbegu Za mirija toka south Africa n.k, ilo toleo litakalokuja ndo litakidhi matakwa unayoitaji,
Aanza na ngombe wa kawaida Zen badae unakuja kumpandikiza kwa kuchagua mbegu Za mirija toka south Africa n.k, ilo toleo litakalokuja ndo litakidhi matakwa unayoitaji,