Nataka kufuga Ng'ombe wa Maziwa, Naomba ushauri

rungemba

Member
Joined
Nov 23, 2013
Posts
76
Reaction score
6
Nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa. Nifahamishwe Aina bora ni ipi.. Matunzo yake na ngombe moja anaetoa Lita 20_30 kwa siku. Pia naweza Kupata wap
 
Kama wewe Rungemba kwenu ni Rungemba niambie ili nikupe kitu cha kufanya ili uweze kufuga hao ng`ombe.
 
Aanza na ngombe wa kawaida Zen badae unakuja kumpandikiza kwa kuchagua mbegu Za mirija toka south Africa n.k, ilo toleo litakalokuja ndo litakidhi matakwa unayoitaji,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…