DadaaaaaaNisivyopenda sherehe!! Mkuu uko sawa kabisa, cha msingi ni kufunga ndoa na maisha baada ya hapo.
Kisheria ndoa lazima iwe na sherehe.Ingawa sheria ya ndoa haijasema sherehe iwe vipi.Kwa hiyo fanyeni sherehe hata ya watu kumi tu haina tatizo.Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi dar.Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?