Safi sana. Imekaa poa.Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
Wewe ndio tunaendana nakuja inbox nataka sana nimetafuta kwa mudamrefu wa aina hiiAtakuwa bidada huyoo...mwanamke ndoa bila harusi anaona ni matusi makubwa kwake!
Watu tumetofautiana asee....nilivyo na uchungu na hela, halafu kirahisi rahisi ikalipiwe ukumbi, sijui Gari la kutubeba, kunywesha watu bia! Mume wangu hajafanya huo upuuzi nikamvumilia!
Kumbe uko single njoo tuunganeWe ndo kama mimi kwa kweli sinaga hela ya kuchangia, ni bora nikanunue lori la mchanga nijenge. Na ya kwangu itakapokuja ntafanya staili hii hii
Tuko wengiMkuu mimi mwenyewe nataka kufanya hivyo mwenzi wa 12
Hongera mkuuAsanteni sana
Hatimaye nimefunga ndoa tar 9 Dec.
HahahaSio mbaya
Baraka za Mungu zinatosha
Kila la kheri
Nilishaapa, sichangii harusi ya MTU, na sitachangiwa yangu. Maziea hayo kwenye ndoa. Wakichangisha ya matibabu kwa mgonjwa na elimu nitafanya kwa moyo mmoja.