Nataka kufunga ndoa bila sherehe

Safi sana. Imekaa poa.
 
Wewe ndio tunaendana nakuja inbox nataka sana nimetafuta kwa mudamrefu wa aina hii
 
Mbona hiyo nzuri tu mkuu mimi sijaoa bado ila muda ukifika hata harusi sitafanya ni kutoa mahari tu maisha yanaendelea.
 
Nilishaapa, sichangii harusi ya MTU, na sitachangiwa yangu. Maziea hayo kwenye ndoa. Wakichangisha ya matibabu kwa mgonjwa na elimu nitafanya kwa moyo mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…