moondampwani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 535
- 169
Pourquoi pas??
Ahsante sana kwa mawazo na ushauri mzuri
Ha hahaha baba P wanguUnavyopenda sasa sherehe.... Nasubiri kukuona hiyo siku ukicheza kwaito
Sina uhakika km hii kheri umeitoa kwa moyo wote..! Wadada mnavyopenda harusi what if ungekuwa ni wewe unayeolewa??Sio mbaya
Baraka za Mungu zinatosha
Kila la kheri
Duh! Ngoja na mimi nikaoe aisei make kujipanga na harusi hatimaye uhenga utanikutiliza sasa..!Mkuu uko sahihi sana, Mimi mwenyewe tarh 28 mwezi huu nafunga ndoa kama yako, mke wangu ni mwalimu hivyo kuwachangisha watu ni kuwasumbua tu, mungu akubaliki sana mpendwa
Hii mentality ndio inafanya watu washindwe kufanya mambo yao kwa Ufanisi zaidi; Kwanini apunguze maneno? Haina haja ya kuongopa maneno, acha afanye siku yoyote amabayo ataipenda.Utaweka mfano wa kuigwa ila inabid isiwe weekend funga siku za kazi watu wapo busy hakuna wa kukufuatilia.utapunguza maneno
Sheria ipi mkuu? Labda kwa upande mwingine; Ila kwa Wakristo hakuna Sheria; Neno la Mungu linasema ivi Ukiwa na Neema uko juu ya Sheria, Simply ni kwamba ukiwa na Neema ya Mungu Sheria haikusumbui.Kisheria ndoa lazima iwe na sherehe.Ingawa sheria ya ndoa haijasema sherehe iwe vipi.Kwa hiyo fanyeni sherehe hata ya watu kumi tu haina tatizo.