Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Safi sana mkuu.Mimi nafunga ndoa mwezi huu isee, nilikuwa nataka kufanya hii style nimemwambia wife Mimi nataka ndoa tu kanisani then tusepe zetu, ila yeye anataka sherehe nimemwambia sherehe atafanya yeye huko ukumbini Mimi kipindi hiko Niko geto, akimaliza sherehe anitafute, sipendagi usumbufu isee
Ilikuaje mkuu mpaka leo anajuta?Kaka angu alifanya sherehe ya harusi yake kwa gharama ya milioni 50...mpaka Leo anajuta!
Ndugu ndo wanalazimishaga mambo hayo ..wenyewe mkielewana hakuna tabu kabisa.na wanawake mnavopenda sherehe agata edward
Abee!Dadaaaaaa
Mpaka leo bado?? Treni itakuacha!!Haina madhara kabisa, tena zinadumu kuliko za sherehe kwenye boat na kumbi mbalimbali.
Ila ya kwangu lazima niwachezeshe kwaito kama navozicheza mimi now
Tatizo ni mwenza wako na timu yake watakuelewa??Huu uzi umenitia moyo sana.
Bado umri unaniruhusu,siachwi wala siwahi kokote..Mpaka leo bado?? Treni itakuacha!!
Sheria hyo imeandikwa wapi mkuu...naomba evidenceKisheria ndoa lazima iwe na sherehe.Ingawa sheria ya ndoa haijasema sherehe iwe vipi.Kwa hiyo fanyeni sherehe hata ya watu kumi tu haina tatizo.
Yaan nkiona comment yako Naka a km dk 5 kwanza naangalia AvatarSafi sana mkuu. Nyie ndiyo mnafungua njia. Mbeleni huko hilo ndiyo litakuwa jambo la mjini. Sherehe itakuwa ushamba.
Na sasa hivi mambo yake yamekuwa magumu kweli kweli!Hii hela angeweka njombe kwenye miti mpaka leo angekuwa ana hela ya kupush Lexus Land Cruiser mang'ana tu! Na nyumba kadhaa mjini hapo
Atakuwa bidada huyoo...mwanamke ndoa bila harusi anaona ni matusi makubwa kwake!Mkuu naomba nisaidie hicho kifungu cha sheria kinachosema
NDOA LAZIMA UWE NA SHEREHE
Mke wake ni wale madada duu ( wanaopenda kujionesha kwa wanawake wengine kuwa wamepata mabwana matajiri)...Ilikuaje mkuu mpaka leo anajuta?
Mimi sipendi shereheSina uhakika km hii kheri umeitoa kwa moyo wote..! Wadada mnavyopenda harusi what if ungekuwa ni wewe unayeolewa??
Katika kitabu gani ipo sheria hiyo??Kisheria ndoa lazima iwe na sherehe.Ingawa sheria ya ndoa haijasema sherehe iwe vipi.Kwa hiyo fanyeni sherehe hata ya watu kumi tu haina tatizo.
Ujinga huo, we put money on long term investments...Mwambie apambane na hali yake, ufahari huo sionagi maana yake!Na sasa hivi mambo yake yamekuwa magumu kweli kweli!
Full kukumbuka hela yake ya harusi[emoji24]
Kuoa masistaduu Kazi kwelikweli!