Nataka kufungua BabyShop Mwanza: Ushauri

Nataka kufungua BabyShop Mwanza: Ushauri

Joined
Jan 7, 2014
Posts
13
Reaction score
1
Habari wakuu, niko Mwanza maeneo ya pasiansi nataka kufungua babyshop itakayouza vitu kama nguo,pampers,diapers,vyombo vya kuwalishia, basins, midoli, baby walker etc. Soko lipo. Naomba ushauri kuhusu wapi ntapata mzigo(supplier)? Nimetenga 2m kwa kuanzia apart from rent. Kwa ambao washafanya hii biznez vp inalipa?
 
Back
Top Bottom