Wakuu,
Kama kuna mtu yeyote anaweza kunipatia DESA - nataka kufungua bekari ya mikate.
a) Vifaa Muhimu vinavyohitajika
b) Soko la mikate nchini
c) Material yatakayohitajika
d) Changamoto
e) Mtaji - approx
Natanguliza shukrani kwenu.
Yaani hali lipofikia inabidi tuwe wajasilimali maana bila hivyo lazima ofisini udokoe tu hali ni tete.