Cable itakushinda kutokana na kesi utakazopewa. Kuna channels pendwa na watu nazo zipo kwenye ving'amuzi. Kuna mpira ambapo ligi zote zina hakimiliki ya warusha matangazo. Vyote hivi unaweza kuwa navyo ila mfano Azam wakali sana ukikamatwa na kazi zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.