Nataka kufungua biashara ya cable tv ushauri wako

Nataka kufungua biashara ya cable tv ushauri wako

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Naomba ushauri nini na nini nifute ili nisiwe hatiani nipo Mafia
 
Cable itakushinda kutokana na kesi utakazopewa. Kuna channels pendwa na watu nazo zipo kwenye ving'amuzi. Kuna mpira ambapo ligi zote zina hakimiliki ya warusha matangazo. Vyote hivi unaweza kuwa navyo ila mfano Azam wakali sana ukikamatwa na kazi zao
 
Back
Top Bottom