Sumu ya nyigu
Member
- May 18, 2019
- 60
- 111
Habari Wana JF naomba wenye ujuzi wa biashara mnifahamishe kuhusu hili:
Nataka kufungua duka la dawa za mifugo yaani veterinary drugs, ninahitaji vitu gani na gharama zake zikoje ukiacha mtaji wa biashara yenyewe ili itambulike kisheria? (TRA, TFDA, HALMASHAURI etc.)
Nataka kufungua duka la dawa za mifugo yaani veterinary drugs, ninahitaji vitu gani na gharama zake zikoje ukiacha mtaji wa biashara yenyewe ili itambulike kisheria? (TRA, TFDA, HALMASHAURI etc.)