Nataka kufungua duka la dawa za mifugo (veterinary drugs) naomba msaada wa mawazo

Sumu ya nyigu

Member
Joined
May 18, 2019
Posts
60
Reaction score
111
Habari Wana JF naomba wenye ujuzi wa biashara mnifahamishe kuhusu hili:

Nataka kufungua duka la dawa za mifugo yaani veterinary drugs, ninahitaji vitu gani na gharama zake zikoje ukiacha mtaji wa biashara yenyewe ili itambulike kisheria? (TRA, TFDA, HALMASHAURI etc.)
 
ndungu nicheki pm nikupe mchongo mzima hadi dawa zinapopatikana kwa bei ya jumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…