Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wataniungaje mkono wakati wao wanafaidika na kulipiwa majengo yao?😀Fungua kesi mkuu wanasheria wapo watakuunga mkono.
Hawashindwi kukwambia ukafungulie kesi yako Bujumbura hawa madhalimu hawaHaki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua
Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
"Ninaona unaitwa migration ukathibitishe Kama sio Raia wa Burundi"Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua
Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
Haina shida kwa sababu wenyewe wzlitushsuri tuhamie Burundi jimbo jipya la Tanzania."Ninaona unaitwa migration ukathibitishe Kama sio Raia wa Burundi"
Aaah! Ukombe hela yangu na upindishe kesi ili mnishinde nami niendelee kuwalipia mijengo yenu! Asante sikuhitaji.Una Shilingi ngapi mimi nije kukutetea??.
Tafuta hela ujenge wewe!!Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua
Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
Mbona yule aliyefungua kesi kupinga tozo za miamala watu wananchangia huko Facebook pesa ya wakili? Ila ameitwa uhamiaji huko wana Shaka na uraia wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wataniungaje mkono wakati wao wanafaidika na kulipiwa majengo yao?
Kwangu tatizo siyo pesa ila tatizo kuanzia wakili wangu mpaka hakimu wote ni wanufaika wa kulipiwa kodi ya jengo, hawa wataungana ili nishindwe kesi wao waendelee kunufaika kwa kulipiwa majengo yao na wapangaji wao, niko njiapanda.Mbona yule aliyefungua kesi kupinga tozo za miamala watu wananchangia huko Facebook pesa ya wakili? Ila ameitwa uhamiaji huko wana Shaka na uraia wake
Mbona yule aliyefungua kesi kupinga tozo za miamala watu wananchangia huko Facebook pesa ya wakili? Ila ameitwa uhamiaji huko wana Shaka na uraia wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wewe si ndiye unafungua kesi sasa unataka utetewe tenaHaki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua
Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
wewe si ndiye unafungua kesi sasa unataka utetewe tenabili ambazo zote hutetea hoja zake
Lipa tu! Elfu 12 mpaka nizeeke wakati nyumba si yangu sasa mimi nitajenga lini.Lipa tu mkuu..elfu 12 kitu gani hapo