Nataka kufungua kiwanda cha kuponda na kukatakata plastic Bottle (PET bottle crusher)

Nataka kufungua kiwanda cha kuponda na kukatakata plastic Bottle (PET bottle crusher)

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Habar wana jamii forum polen na majukumu leo nimeona nije na hii mada ngumu naomba kwa wenye uzoefu mnipe mbinu na changamoto za hii biashara

Nina mpango wa kufungua kiwanda cha PET BOTTLE RECYCLING kiwanda cha kusaga na kukata chupa za plastic nimeongea na kampuni moja ipo china jina kapuni waniuzie PET BOTTLE CRUSHER set 3 jumla zinagharimu million 12 na site ya kiwanda nimeshapata sasa naombeni kujua mambo yafuatayo

1. Wateja wa hizi plastic zikishakatwa ni kina nan ?

2. Mbinu gan nitumie kupata chupa za plastic au nitumie hawa hawa vijana wanaookota machupa na kujaza kwenye gunia huko mtaan

3. Niajiri wafanyakaz wangapi na majukumu yao yapoje na ikiwezekana mishahara yao niwalipe kiasi gan ?

4. Procesa nzima ya kukata plastics ikoje apa namaanisha kuna haja ya kuziosha plastica kutoa uchafu na maganda kabla ya kuzikausha ndio ziingizwe kwenye mashine au haina haja ya kuzisafisha unaingiza chupa hivo hivo hata km ni chafu

5. Bei za kununua chupa za plastics zikoje nasikia kilo sh 300 na je bei ya kuuza ipoje

6. Changamoto za hii biashara ni zipi ?

7. Vitu gan na gan nitahitaji katika hii biashara
Mashine za crushing nimeshaaagiza kutoka china TOTAL TZS 12000000 najua nikiimport mzigo utaongezwka bei km TZS 20 million

Site nimeshapata pia nimeshaqasiliana na SIDO

Hapa nipo naandaa businesa plan so naomba michango uenu ni nn na nn kitahitajika
 
Mkuu moja ya kufeli kwa biashara nyingi Ni kutokua na mpango biashara madhubuti. Ni sawa na kununua midege mikubwa ya Bombardier halafu ndo unaitaftia kazi.

Sio mbaya hujachelewa Anza kuchakata maswali uliyoyauliza Kisha utapata matokeo. btw vipi hutaki ubia
 
Mkuu moja ya kufeli kwa biashara nyingi Ni kutokua na mpango biashara madhubuti. Ni sawa na kununua midege mikubwa ya Bombardier halafu ndo unaitaftia kazi. Sio mbaya hujachelewa Anza kuchakata maswali uliyoyauliza Kisha utapata matokeo. btw vipi hutaki ubia
Najua ilo bro na ndio maana nimeleta apa jukwaan ili nipate michango yenu maana naamin wapo wajuzi wanipe knowledge lkn cjaja mtupu hapa nami kuna ninavyo vijua so hapa naongezea mawazo ili tushare
 
Boss kama ukihitaji mtu wa Volunteere kwenye Kiwanda chako kimpya njoo tuongee tusaidiane

Biashara za chupa za plastic ungeenda kariakoo kuuliza kwa wale waizaji

Ukihitaji nikusaidie kufanya hii research ndogo ndogo tunaweza kuzungumza kwa kujitolea
 
Boss kama ukihitaji mtu wa Volunteere kwenye Kiwanda chako kimpya njoo tuongee tusaidiane

Biashara za chupa za plastic ungeenda kariakoo kuuliza kwa wale waizaji

Ukihitaji nikusaidie kufanya hii research ndogo ndogo tunaweza kuzungumza kwa kujitolea
Kariakoo eneo au mtaan gan na hukp kuna wauzaji au wanunuaji
 
What I knew hizo material za plastic kama chupa kwa nchi za wenzetu ie South Africa wanatumia kutengenezea lami....
 
Habar wana jamii forum polen na majukumu leo nimeona nije na hii mada ngumu naomba kwa wenye uzoefu mnipe mbinu na changamoto za hii biashara

Nina mpango wa kufungua kiwanda cha PET BOTTLE RECYCLING kiwanda cha kusaga na kukata chupa za plastic nimeongea na kampuni moja ipo china jina kapuni waniuzie PET BOTTLE CRUSHER set 3 jumla zinagharimu million 12 na site ya kiwanda nimeshapata sasa naombeni kujua mambo yafuatayo

1. Wateja wa hizi plastic zikishakatwa ni kina nan ?

2. Mbinu gan nitumie kupata chupa za plastic au nitumie hawa hawa vijana wanaookota machupa na kujaza kwenye gunia huko mtaan

3. Niajiri wafanyakaz wangapi na majukumu yao yapoje na ikiwezekana mishahara yao niwalipe kiasi gan ?

4. Procesa nzima ya kukata plastics ikoje apa namaanisha kuna haja ya kuziosha plastica kutoa uchafu na maganda kabla ya kuzikausha ndio ziingizwe kwenye mashine au haina haja ya kuzisafisha unaingiza chupa hivo hivo hata km ni chafu

5. Bei za kununua chupa za plastics zikoje nasikia kilo sh 300 na je bei ya kuuza ipoje

6. Changamoto za hii biashara ni zipi ?

7. Vitu gan na gan nitahitaji katika hii biashara
Mashine za crushing nimeshaaagiza kutoka china TOTAL TZS 12000000 najua nikiimport mzigo utaongezwka bei km TZS 20 million

Site nimeshapata pia nimeshaqasiliana na SIDO

Hapa nipo naandaa businesa plan so naomba michango uenu ni nn na nn kitahitajika
Mkuu vipi hii idea yako ni nzuri sana. Vipi ushaanza uzalishaji?
 
Habar wana jamii forum polen na majukumu leo nimeona nije na hii mada ngumu naomba kwa wenye uzoefu mnipe mbinu na changamoto za hii biashara

Nina mpango wa kufungua kiwanda cha PET BOTTLE RECYCLING kiwanda cha kusaga na kukata chupa za plastic nimeongea na kampuni moja ipo china jina kapuni waniuzie PET BOTTLE CRUSHER set 3 jumla zinagharimu million 12 na site ya kiwanda nimeshapata sasa naombeni kujua mambo yafuatayo

1. Wateja wa hizi plastic zikishakatwa ni kina nan ?

2. Mbinu gan nitumie kupata chupa za plastic au nitumie hawa hawa vijana wanaookota machupa na kujaza kwenye gunia huko mtaan

3. Niajiri wafanyakaz wangapi na majukumu yao yapoje na ikiwezekana mishahara yao niwalipe kiasi gan ?

4. Procesa nzima ya kukata plastics ikoje apa namaanisha kuna haja ya kuziosha plastica kutoa uchafu na maganda kabla ya kuzikausha ndio ziingizwe kwenye mashine au haina haja ya kuzisafisha unaingiza chupa hivo hivo hata km ni chafu

5. Bei za kununua chupa za plastics zikoje nasikia kilo sh 300 na je bei ya kuuza ipoje

6. Changamoto za hii biashara ni zipi ?

7. Vitu gan na gan nitahitaji katika hii biashara
Mashine za crushing nimeshaaagiza kutoka china TOTAL TZS 12000000 najua nikiimport mzigo utaongezwka bei km TZS 20 million

Site nimeshapata pia nimeshaqasiliana na SIDO

Hapa nipo naandaa businesa plan so naomba michango uenu ni nn na nn kitahitajika
Ulitakiwa kuyajua hayo yote uliyouliza kabla hujanunua/kuagiza machine.
Business idea ni lazima ianze kwa kusoma mazingira na maswali haya uwe umeyajibu (ikiwezekana):
1. WHAT to produce
2. WHERE to produce
3. WHO is your customer
4. HOW to produce (technogy)
5. WHERE to sell.
Pia jiangalie kwa yafuatayo: SWOT
  • STRENGTH yako
  • WEAKNESSS ulizonazo
  • OPPORTUNITIES zilizopo
-THREAT zinazokuzunguka
 
Yaani unaagiza mzigo ndio unaanza research.Ungefanya research kwanza kabla ya kuagiza mashine.
Kilichotakiwa hapo kufanyika kwanza ni search for availability of raw materials and market surveys.
Research itamchukua muda mrefu kupata majibu kwani ina procedure ndefu
 
Back
Top Bottom