Nataka Kufungua Mashtaka dhidi ya Tanesco kwa hasara waliyonisababishia

Nataka Kufungua Mashtaka dhidi ya Tanesco kwa hasara waliyonisababishia

Abou Shaymaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2022
Posts
1,479
Reaction score
3,229
Wakuu natafuta wanasheria mzuri anaeijua kazi yake, ili tufungue kesi dhidi ya shirika la umma TANESCO, kutokana na hasara walionisababishia kwenye biashara yangu ya bucha la samaki wabichi, walikata umeme toka jana asubuh tarehe 14 bila taarifa na hawakurudisha hada saa 2 usiku tena dakika 5 tu wakakata tena hadi leo hii hapa naandika hakuna umeme, nipo Wilaya ya Newala mkoa wa Mtwara.
 
Wakuu natafuta wanasheria mzuri anaeijua kazi yake, ili tufungue kesi dhidi ya shirika la umma TANESCO, kutokana na hasara walionisababishia kwenye biashara yangu ya bucha la samaki wabichi, walikata umeme toka jana asubuh tarehe 14 bila taarifa na hawakurudisha hada saa 2 usiku tena dakika 5 tu wakakata tena hadi leo hii hapa naandika hakuna umeme, nipo wilaya ya newala mkoa wa mtwara.
Unapoteza muda. Hiyo gharama ya kujisumbua na kesi, wekeza kwenye power backups kama solar.
 
+255 (0) 656 614 333

Wakili Elizabeth

Mpigie Muda wa Kazi TU
 
Back
Top Bottom