Nataka kufungua sehemu yangu ya kuuza spare parts

Nataka kufungua sehemu yangu ya kuuza spare parts

clintonn

Member
Joined
Apr 2, 2020
Posts
13
Reaction score
14
Wakuu kwanza napenda kushukuru uongozi wote wa jamii forum. Nilitaman sana na mimi niwe nachangia mada nyingi tu lakini nilikua nakwama nashindwa kureply

Okay kama mada ilivyojielezea hapo juu.. hii ni baada ya kukaa garage miaka mitatu...baba kanipa kamtaj kangu nifungue duka langu la kuuza spare lkn nashindwa kujua nianze na vitu gani

Natanguliza shukrani zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta sehemu ambayo gari zinapita sana au karibu na garage.
 
Wakuu kwanza napenda kushukuru uongozi wote wa jamii forum. Nilitaman sana na mimi niwe nachangia mada nyingi tu lakini nilikua nakwama nashindwa kureply

Okay kama mada ilivyojielezea hapo juu.. hii ni baada ya kukaa garage miaka mitatu...baba kanipa kamtaj kangu nifungue duka langu la kuuza spare lkn nashindwa kujua nianze na vitu gani

Natanguliza shukrani zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
nilitegemea wakti upo gereji ulifanya utafiti wakutosha kwa hili ulilouliza
 
Wakuu kwanza napenda kushukuru uongozi wote wa jamii forum. Nilitaman sana na mimi niwe nachangia mada nyingi tu lakini nilikua nakwama nashindwa kureply

Okay kama mada ilivyojielezea hapo juu.. hii ni baada ya kukaa garage miaka mitatu...baba kanipa kamtaj kangu nifungue duka langu la kuuza spare lkn nashindwa kujua nianze na vitu gani

Natanguliza shukrani zangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Umekaa gerage miaka 3 alf hujui vifaa gan vinahitajika zaid ???[emoji15]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekaa gerage miaka 3 alf hujui vifaa gan vinahitajika zaid ???[emoji15]


Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana.
Lakini kwa faida ya wengine watakaosoma uzi na yeye pia, hii issue inategemea na mtaji.
Uwezi sema hiki na kile kama hujui mtaji.

Kama una chini ya mil 3 anza na duka simpo lenye vifaa vya service kwanza.

1. Oil aina zote kwa wingi
2. Mafuta ya break (break fluids)
3. Filters aina zote
4. Air cleaners
5. Oil pumps
6. Spana na set za spana mbali mbali
7. Coolants
8. Bolts na nut
9. Timing belts
10. fan belts
14. Bulb za aina mbalimbali
15. Fuse aina mbali mbali
N.k

Ukiwa na mtaji zaidi ya mil 3 mpk 10
Ongeza
1. Battery
2. Taa za gari common
3. Bush mbali mbali
4. Rings
5. Bearings

Wadau waendelee kuongezea...


Dumelang
 
Hatari sana.
Lakini kwa faida ya wengine watakaosoma uzi na yeye pia, hii issue inategemea na mtaji.
Uwezi sema hiki na kile kama hujui mtaji.

Kama una chini ya mil 3 anza na duka simpo lenye vifaa vya service kwanza.

1. Oil aina zote kwa wingi
2. Mafuta ya break (break fluids)
3. Filters aina zote
4. Air cleaners
5. Oil pumps
6. Spana na set za spana mbali mbali
7. Coolants
8. Bolts na nut
9. Timing belts
10. fan belts
14. Bulb za aina mbalimbali
15. Fuse aina mbali mbali
N.k

Ukiwa na mtaji zaidi ya mil 3 mpk 10
Ongeza
1. Battery
2. Taa za gari common
3. Bush mbali mbali
4. Rings
5. Bearings

Wadau waendelee kuongezea...


Dumelang
Mkuu shukrani sanaaa kwan kdg umenipa mwanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom