musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Nina mpango wa kufungua store ya mchele Dsm...sipo kwa muda wa miaka 3 ...
Bahati nimefanikiwa kupata mashamba /mkoani Katavi, hivyo source kubwa ningetarajia kwanza iwe kutoka shambani, japo kwa sasa nilitaka niingie na Tone 2 nikiwa na cash Mil.2
Najua mtaji wangu unaweza kuonekana mdogo sana, lakini nilitaka kuwa na mwanzo mzuri/strong starting base point ambayo itaniruhusu kukua kwa uhakika sustainably
Naomba mawazo yenu...nifungue maeneo gani jijini...nahitaji vitu/vifaa gani japo vya msingi kama mizani nafahamu lakini aina gani nzuri kwa mfano...vipi taratibu za vibali kama TRA ...serikali za mitaa nk...lakini wapi pia na vipi naweza ku rely kupata mzigo pale napo pungukiwa?
Nawashukuru sana kwa mawazo yenu na Mungu awabariki mtakao nichangia mawazo na uzoefu
Akhsanteni
Bahati nimefanikiwa kupata mashamba /mkoani Katavi, hivyo source kubwa ningetarajia kwanza iwe kutoka shambani, japo kwa sasa nilitaka niingie na Tone 2 nikiwa na cash Mil.2
Najua mtaji wangu unaweza kuonekana mdogo sana, lakini nilitaka kuwa na mwanzo mzuri/strong starting base point ambayo itaniruhusu kukua kwa uhakika sustainably
Naomba mawazo yenu...nifungue maeneo gani jijini...nahitaji vitu/vifaa gani japo vya msingi kama mizani nafahamu lakini aina gani nzuri kwa mfano...vipi taratibu za vibali kama TRA ...serikali za mitaa nk...lakini wapi pia na vipi naweza ku rely kupata mzigo pale napo pungukiwa?
Nawashukuru sana kwa mawazo yenu na Mungu awabariki mtakao nichangia mawazo na uzoefu
Akhsanteni