Nataka kugegeda ndugu wa familia moia

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,623
Reaction score
8,442
Poleni na nsiba wananzengo

Mwaka 2016 kuna binti wa miaka 19 nilikua namla ,mahusiano yaliendelea hadi pale nilipompiga chini 2017

Baada ya muda tukarudi tena ila sikuwa na mzuka nae so tukawa kama marafiki

Katika pita pita zake kapigwa mimba kazalishwa sasa yupo kwao

Kiukweli baada ya kuzaa mtoto kaongezeka mwili yani kajazia jazi ,hivi karibuni nikaanza kwenda kwao kumpiga training Fulani ,sasa naona keshaanza kutamani tena nimgegede

Hapo kwao kuna dada yake ana kama 32 nae single mother ,majuzi kaniomba namba nikampa aliponitext nikamjibu na sikumchelewesha nikamtia vokali nae kajaa anataka nimgegede

Sasa wakuu hii haitaniletea shida,wale wazoefu wa kugegeda ndugu mnipe impact yake, manake kesho ndo natunukiwa papuchi na Dada mtu.

Buenas noches
 
 
Mimi natamani uwajaze mimba ili tuone ubaya wa kumla ndugu ni nini?
 
Acha maswali ya kijinga bhana. Unawangusha nyamaume bure. Huyo mdogo ulifunga naye ndoa? Hakuna.uhusiano ktk uzinzi na.uasherati! Hata MAMA yao, we piga miti kwa kwenda mbele

Bazazi!
 
Ukiwa na mpenzi, ukamgegeda mwanamke mwingine na mpenzi wako akagundua, nini hutokea..? Sasa waza huyo mpenzi wako na huyo mwanamke mwingine ni ndugu, huoni kuwa kitu kibaya zaidi kitatokea?
 
Jibu unalo mkuu. Unatupima imani tu hapa, cha msingi sikiliza moyo wako unasemaje mzee baba ila kwa kuwa hujaoa we pita nao tu kwa siri. Hapo kinachowasumbua ni ugumu wa maisha ila ifike muda uwe na aibu.
 
mimi nimewhi kuvusha na dem kwao analala na shangazi yake, niliwapiga miti wote usiku huo.

nikawa nawapa hela ya matumizi wote na wakija kwangu jioni nawapiga miti kwa zamu.


kwa sasa wote wameolewa na ni watumishi kwa ngosha
 
mimi nimewhi kuvusha na dem kwao analala na shangazi yake, niliwapiga miti wote usiku huo.

nikawa nawapa hela ya matumizi wote na wakija kwangu jioni nawapiga miti kwa zamu.


kwa sasa wote wameolewa na ni watumishi kwa ngosha
Kwahiyo unajiona mwenye akili sana?
 
Shida lazima uipate..

Haswa pale watakaponogewa na kaunza kuhadithiana na kutambulishana...



Cc: mahondaw
 
mimi nimewhi kuvusha na dem kwao analala na shangazi yake, niliwapiga miti wote usiku huo.

nikawa nawapa hela ya matumizi wote na wakija kwangu jioni nawapiga miti kwa zamu.


kwa sasa wote wameolewa na ni watumishi kwa ngosha
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…