Nataka kuhama bima nihamie wapi?

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,130
Reaction score
8,362
Namaanisha bima ya Gari. Nipo Jubilee..nataka kuhama kutokana na mienendo ambayo siifurahii hasa kwenye kushughulikia madai. Wadau wapi Kuna unafuu.
 
Nipo Jubilee..nataka kuhama kutokana na mienendo ambayo siifurahii hasa kwenye kushughulikia madai. Wadau wapi Kuna unafuu.
Hamia Alliance Insurance, hutojuta.

Niliwahi kupata claim pale, baada ya kukamilisha documents zote zinazotakiwa ndani ya siku 3 nishalipwa tayar
 
Hamia Alliance Insurance, hutojuta.

Niliwahi kupata claim pale, baada ya kukamilisha documents zote zinazotakiwa ndani ya siku 3 nishalipwa tayar
Ulilipwa bila Mkaguzi kwenda garage?
 
Hivi ni kwanini bima hawataki pikipiki na bajaj,wao wanataka magari tu
 
Bima ya aina gani mkuu??
Hamia Alliance Insurance, hutojuta.

Niliwahi kupata claim pale, baada ya kukamilisha documents zote zinazotakiwa ndani ya siku 3 nishalipwa tayar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…