Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kwa sauti. Ndio tunaupigapiga sasa. Karibu kusini mkuu...Kilimo cha ufuta umejaribu kwanza?
Hahahaha hapa kuna tafakuli kubwa ndani yakeKaribu Gaborone mkuu ila nliishi kidogo nikahamia Lobatse nimeacha na watoto mapacha [emoji28][emoji28]
Karibu Gaborone mkuu ila nliishi kidogo nikahamia Lobatse nimeacha na watoto mapacha [emoji28][emoji28]
Root ya kwenda huko inachukua mda gani na kiasi gani maana mwaka huu nmepanga lazima nitoke nje ya TanzaniaKaribu Gaborone mkuu ila nliishi kidogo nikahamia Lobatse nimeacha na watoto mapacha [emoji28][emoji28]
Sio uzembe mkuu, ninatwngeneza mazingira ya kwenda kuwakwira. Uzuri Abdul Satar Dada nina mtu anafahamiana nae, uhakikaUtakuwa mzembe sana kuacha damu yako mimi pia nilizaa Africa kusini nikapora mtoto nikatokomea siwezi kuacha damu yangu popote
KWA usafiri gani mkuuRoot ya kwenda huko inachukua mda gani na kiasi gani maana mwaka huu nmepanga lazima nitoke nje ya Tanzania
Professional ninayo mkuu,
Kama unaweza nielezee vyote kwa gari na kwa aeroplane nione naweza mudu njia ipiKWA usafiri gani mkuu
Ni approximately dolali mia mbili KWA ndege dar to Gaborone, ikw kama unataka mabasi basi ni Yale ya zambia/malawiKama unaweza nielezee vyote kwa gari na kwa aeroplane nione naweza mudu njia ipi
Natamani kwenda huku bondeniNi approximately dolali mia mbili KWA ndege dar to Gaborone, ikw kama unataka mabasi basi ni Yale ya zambia/malawi