Nataka kuhamia mozambiqe/msumbiji ya kaskazini

Visenti

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2008
Posts
1,025
Reaction score
329
Naamini kuna wanaJF walioko Mozambique katika majimbo/maeneo ya PEMBA, CABO DELGADO na NAMPULA, kuna jamaa yangu Mtanzania anataka kuhamia na kuanza maisha huko ktk sehemu nilizozitaja, kwa kupiga box au biashara yoyote, kama kuna wana JF huko au yeyote anayeyajua maeneo hayo, naomba mnipe mwongozo jinsi jamaa atakavyoweza kuhamia na ku-settle huko, mfn requirement muhimu zinazohitajika n.k, nitashukuru kwa mwongozo nitakaoupata.
 
<br />
<br />
NiPM kama umedhamiria.
 
Mkuu Mwendabure, kama unaweza kunielekeza anika tu hadharani, itawasaidia na wengine wanaohitaji hizo information.

 

Mkuu, huyo ndugu yako alifanikiwa kuanza maisha huko Moza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…