mkadiriaji majenzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 260
- 569
Habarini wana Jamvi,
Nina ratiba ya kwenda Wilaya ya Nachingwea kwa Kazi ya miaka kama miwili.
Kwa wanayoijua vizuri naomba experience yenu kuhusu hii wilaya kuhusu fursa zilizopo, Aina ya maisha ya pale, Gharama za maisha kama malazi na chakula,sehemu nzuri za kupumzika weekend na kucheki game Za team yangu ya Simba lunyasi na Man utd, Huduma za mawasiliano n.k.
Karibuni sana
Nina ratiba ya kwenda Wilaya ya Nachingwea kwa Kazi ya miaka kama miwili.
Kwa wanayoijua vizuri naomba experience yenu kuhusu hii wilaya kuhusu fursa zilizopo, Aina ya maisha ya pale, Gharama za maisha kama malazi na chakula,sehemu nzuri za kupumzika weekend na kucheki game Za team yangu ya Simba lunyasi na Man utd, Huduma za mawasiliano n.k.
Karibuni sana