tonylast
Member
- Jun 26, 2019
- 70
- 47
Habarin wana jamvi la mitindo na utanashati.
Baada ya miaka10, nimekutana na suruali yangu aina ya dickies..suruali niliyohifadhi katika bag la nguo ambazo hazitumik kwa muda mrefu sanaaaa leo nmeiona tena.
Lakin cha ajabu suruali hiyo bado inanitosha kama zamani sasa nmeifua na kuipiga pasi. Itaendelea na Matumizi kama kawaida [emoji16][emoji16]
Baada ya miaka10, nimekutana na suruali yangu aina ya dickies..suruali niliyohifadhi katika bag la nguo ambazo hazitumik kwa muda mrefu sanaaaa leo nmeiona tena.
Lakin cha ajabu suruali hiyo bado inanitosha kama zamani sasa nmeifua na kuipiga pasi. Itaendelea na Matumizi kama kawaida [emoji16][emoji16]