Nawasalimu wote.
Nimekuwa mpenzi mno wa nyimbo za kilingala za wenzetu wa Congo. Imefika mahali sasa nataka kuyaelewa mashairi yao. Naomba kuna mtu mwelewa wa lugha hii au anaweza kunoelekeza mahali nikajifunze.
Natanguliza shukrani.
Nawasalimu wote.
Nimekuwa mpenzi mno wa nyimbo za kilingala za wenzetu wa Congo. Imefika mahali sasa nataka kuyaelewa mashairi yao. Naomba kuna mtu mwelewa wa lugha hii au anaweza kunoelekeza mahali nikajifunze.
Natanguliza shukrani.