jf user
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 777
- 623
Za kazi wakuu.
Napenda sana vyakula vitamu ila sijui kupika.
Leo nataka nianza na chapatti flani amazing, Hizi chapatti zinakua ni laini, nene, zina rangi nzuri ya brown kutokana na zimepikwa kiutaalamu. Ukila moja una shiba au maximum mbili.
Unaweza kula hizo chapatti na supu ya kuku, mchuzi wa maharagwe ya tui la Nazi, chai nzito ya maziwa, supu ya kongoro n.k
Naomben abc za kuandaa hasa kukanda unga kwani pale ndio inanitia shida pia kupaka mafuta mara kadhaa na kusokota tena huwa sielewi.
Napenda sana vyakula vitamu ila sijui kupika.
Leo nataka nianza na chapatti flani amazing, Hizi chapatti zinakua ni laini, nene, zina rangi nzuri ya brown kutokana na zimepikwa kiutaalamu. Ukila moja una shiba au maximum mbili.
Unaweza kula hizo chapatti na supu ya kuku, mchuzi wa maharagwe ya tui la Nazi, chai nzito ya maziwa, supu ya kongoro n.k
Naomben abc za kuandaa hasa kukanda unga kwani pale ndio inanitia shida pia kupaka mafuta mara kadhaa na kusokota tena huwa sielewi.