Ujue nalipa kodiAcha wakuonee hivyohivyo, kwenye avatar yako umeficha sura kwa mikono..
😨😨Jinsia yako kwanza tafadhali?
Kama ni ke njoo pm tujadili kiundani nimegundua baadhi ya wapangaj wenzako wako humu[emoji32][emoji32]
aahahahahahahahhKama ni ke njoo pm tujadili kiundani nimegundua baadhi ya wapangaj wenzako wako humu
Hivyo sio vizuri nao wakaona hizo mbinu
Anza na iiKuna wapangaji wenzangu hapa nilipopanga sijui wananichukuliaje, utakuta sometime ni zamu zao katika usafi lakiini chaajabu naambiwa ni mimi ndo wakufanya usafi wakati nimetoka kufanya usafi jana yake tu.. Pia kuna watu wengine kwenye zamu zao sijawahi ona hata siku moja wakigusa fagio au mopa lakini ikikaribia au kufika zamu yangu utaskia "kijana make sure mazingira yanapendeza"... Sasa basi nilichoamua mimi naenda kujifunza ngumi au unaweza ita kifinyo mana hizi ni dharau na kejeli yaani mpangaji yeyote akinipanda kichwani napiga nyumba Nzima..
Sijui niseme[emoji2959]Inaonyesha umelegea legea kama mlenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji848]Kama ni ke njoo pm tujadili kiundani nimegundua baadhi ya wapangaj wenzako wako humu
Hivyo sio vizuri nao wakaona hizo mbinu