Jitahidi utafanikiwa sana kwa uwezo wa Mungu.Naongea Lugha mbili ambazo almost kila mtu wa EA anaongea (swahili and English)
Ningetamani kujua Lugha hii ya wenzetu kama lugha ya tatu, Maana naikubali na nimefuatilia inaongelewa na nchi zaid ya 20...besides hata siku nkitembelea Barcelona niweze hata kuagiza maji restaurant[emoji28]. Nshaanza hatua kidogo zile basics online kujifunza alphabet n.k
Ila kama kuna mtu ana ushauri wowote wa jinsi ya kuimaster hii lugha kiurahisi zaidi nawakaribisha..uwanja wenu
Ahsante
Eeh, Kuna chinese na Mandarin hebu niambie kuhusu hii mandarin maana watu wanasema ni Lugha ngumu.. japo ina native speakers wengiJitahidi utafanikiwa sana kwa uwezo wa Mungu.
Mimi sijawahi kujifunza hiyo lugha lakni 30% mpaka 40% nasikia/kufahamu ikiongelewa sababu najua/naelewa português na haiko mbali na português.. sasaihiv nadili na kichina jaapo kuandika kwa yale majiti majiti inanipa chamgamoto. Najufunza hii kwasasa.
Hii bado sijafikia stage kubwa najiendeleza tu kwasasa kujifunza kuna app flan mzuri tu kujifundishia ndio ninayotumia sana kujifunza.Eeh, Kuna chinese na Mandarin hebu niambie kuhusu hii mandarin maana watu wanasema ni Lugha ngumu.. japo ina native speakers wengi
Hahah yale majiti, sema inaonekana it is fun kwani yanasumbua sana
AsanteSawa, kila la kheri... you got this
Inaitwaje hiyo app nasi tujifunzie?????Hii bado sijafikia stage kubwa najiendeleza tu kwasasa kujifunza kuna app flan mzuri tu kujifundishia ndio ninayotumia sana kujifunza.
Jaribu app ya Dualingo.Naongea Lugha mbili ambazo almost kila mtu wa EA anaongea (Swahili and English)
Ningetamani kujua Lugha hii ya wenzetu kama lugha ya tatu, Maana naikubali na nimefuatilia inaongelewa na nchi zaid ya 20, besides hata siku nkitembelea Barcelona niweze hata kuagiza maji restaurant[emoji28]. Nshaanza hatua kidogo zile basics online kujifunza alphabet n.k
Ila kama kuna mtu ana ushauri wowote wa jinsi ya kuimaster hii lugha kiurahisi zaidi nawakaribisha..uwanja wenu
Ahsante
HelloChinese.Inaitwaje hiyo app nasi tujifunzie?????