Nataka kujijua kama tayari nimelewa

madala mujipa

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
1,417
Reaction score
862
Jumapili njema

Ni wiki ya pili tangu nimeanza kujipiga balimi lakini sielewi kwanini silewi kama wenzangu na siyumbi,sasa nataka kujua ukilewa unajuaje kama tayari goma limekolea mimi naona kupata hasara tu na kukojoa kwing
Wataalumu mnijuze
 
Wewe unapiga vibalimi v4 halafu unasubiri ulewe?

Anza na nyagi mbili ndogo kisha hamia kwenye balimi.
 
kunywa burudani bei ni 800 tu....ukiona ushamaliza ya 5 fanya kunyanyuka kidogo utembee litakalokukuta ndio ujue hapo ushalewa
 
Mkuu kula chakula chepesi Alaf kunywa vodka, whiskey utaelewa au kunywa konyagi local gin utaelewa tuu
Mimi huanza na Brandy ya Valuer chupa ndogo naimeza yote hapo hapo, kisha natiririka na Balimi 2 au 3. Kila siku iendayo kwa Mungu elfu 15 lazima initoke (bajeti ya kulewa).
 
Mimi huanza na Brandy ya Valuer chupa ndogo naimeza yote hapo hapo, kisha natiririka na Balimi 2 au 3. Kila siku iendayo kwa Mungu elfu 15 lazima initoke (bajeti ya kulewa).

huenda wewe ni mwanafunzi unajifunza!mbona pesa ndogo san hyo mkuu ?
 
Nahitaji kujua starehe ya kulewa
Starehe ya kulwa: unasahau matatizo yako, stress inakimbia kama vile imefumaniwa, unaweza kumdai mdeni wako na akakulipa hapo hapo, kama kulikuwa na jambo unashindwa kulifanyia maamuzi, utalitafakari kwa dk 5 na kufanya maamuzi sahihi kabisa yaliojaa ujasiri. n.k.
 
Jumapili njema

Ni wiki ya pili tangu nimeanza kujipiga balimi lakini sielewi kwanini silewi kama wenzangu na siyumbi,sasa nataka kujua ukilewa unajuaje kama tayari goma limekolea mimi naona kupata hasara tu na kukojoa kwing
Wataalumu mnijuze
 
kunywa vibalimi kama 10,halafu pita vichochoroni ukiamka asbh huna nguo hata moja hapo ndo umelewa sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…