Nashukuru sana wana jamvi kwa ushauri wenu,lakini kuna baadhi ya wanajamvi kazi yao ni kucritisize kila hoja.Hivi ni muhimu kujua masters yangu ni ya kitu gani?hebu mwenye namba za simu za Zitto kabwe anisaidie.
Tupeane moyo badala ya kuwa wakatisha tamaa
DP vipi hakimfai?Nenda caf,ccm (b)