Nataka kujivua gamba ila.......................

maumivu tayari na ninafanya mipango ya India
 
maumivu tayari na ninafanya mipango ya India

Ha ha ha ha ... Salamu zao... India.. lakini Mkuu kabla hujaenda India jaribu Muhimbili...

Kama Mama anajua kuwa umezimia viuno vyake mwambie una safari ya kwenda Tanga... akiuliza kwa sababu gani.. unamwambia umesikia watu wanasema kuwa unaweza pata Subsitutes nzuri ya mauno...

Anaweza kufikiria kauli yako mara 100.....
 
mhimbili hamna kitu mkuu,nikimwambia naenda tanga yeye mwenyewe kazaliwa tanga,heri india tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…