Nataka kujua jinsi ya kutengeneza Bisi - Popcorn : Ladha zake

Nataka kujua jinsi ya kutengeneza Bisi - Popcorn : Ladha zake

Erick B

Senior Member
Joined
May 25, 2017
Posts
107
Reaction score
81
Naombeni kujuzwa namna ya kutengeneza ladha tofauti tofauti za bisi/pop corn vitu ambavyo wanachanganya.. mpaka sasa nimejua kuna ladha ya chokoleti, sukari tangawizi lakini sijajua vitu wanachanganya..

Nimeamua kujiajiri naombeni saaana msaada.. nipate ladha ya kipekee nzuri
kuna nliowafuata naona ubora wao bado wenye ubora mzuri wananiambia niwalipe fedha nyingi ambazo kwa sasa bado sina. Ntawashukuru sana nkifanikiwa.... [HASHTAG]#kwa[/HASHTAG] watakao kua karibu ntawapeni ofa mkipita

Ntamlipa atakaye nielekeza vizuri. michango midogo yenye tija.. Vocha
 
Sijawahi

Ila kwa kesi kama hizo tangawizi, coffee au chocolate au sukari kwa uelewa wangu mdogo ni Lazima utengeneze syrup then unyunyuzie kimtindo wakati bado za moto
 
Syrup ni nini boss... nashukuru kwa Intro..

Agro Business Iringa
 
Jaman atakaye nielekeza nkafanikiwa vizuri 100% ntamtoa si chini ya Elf 10.. naomba expart please..

Agro Business Iringa
 
Jaman atakaye nielekeza nkafanikiwa vizuri 100% ntamtoa si chini ya Elf 10.. naomba expart please..

Agro Business Iringa
Wakati unasubiri wataalamu waje. Ingia youtube seach for different popcorn recipes zipo nyingi. Huwa naangalia lkn sijawahi kujaribu.
 
aminia boss shukran sana

Agro Business Iringa
 
Back
Top Bottom