Nataka kujua juu ya dawa ya kuua magugu (weed killer)

Nataka kujua juu ya dawa ya kuua magugu (weed killer)

Northern empire

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2019
Posts
358
Reaction score
459
Habari za mchana Mimi ni mkulima Wa mahindi . katika kuhangaika nimeelezwa kuwa kunasumu ya kupalilia mahindi tena yenyewe hayaathiriki . sasa najua humu kunawazoefu wa kilimo nahitaji kujua kuwa ni kweli hiyo sumu.

Inafanya kazi vizuri ? Na ni kweli haina athari kwa mimeaa ? Maana nimeingiwa na hof huenda ikawa namadhara kwani huku napolimia sijaona mtu yeyote akiitumia. Naomba msaada kwa mwenye ufaham wa hilo . Natanguliza shukran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo za majina mengi lakini zinajulikana kama 2-4D amine (tufodi). Majina ni kama vile twiga 2-4D, agro mine 2-4D n.k
 
Back
Top Bottom