Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
Habari za mchana Mimi ni mkulima Wa mahindi . katika kuhangaika nimeelezwa kuwa kunasumu ya kupalilia mahindi tena yenyewe hayaathiriki . sasa najua humu kunawazoefu wa kilimo nahitaji kujua kuwa ni kweli hiyo sumu.
Inafanya kazi vizuri ? Na ni kweli haina athari kwa mimeaa ? Maana nimeingiwa na hof huenda ikawa namadhara kwani huku napolimia sijaona mtu yeyote akiitumia. Naomba msaada kwa mwenye ufaham wa hilo . Natanguliza shukran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inafanya kazi vizuri ? Na ni kweli haina athari kwa mimeaa ? Maana nimeingiwa na hof huenda ikawa namadhara kwani huku napolimia sijaona mtu yeyote akiitumia. Naomba msaada kwa mwenye ufaham wa hilo . Natanguliza shukran.
Sent using Jamii Forums mobile app