Nataka kujua juu ya matumizi ya mbolea ya mavi ya popo

Nataka kujua juu ya matumizi ya mbolea ya mavi ya popo

sharmty

Member
Joined
Mar 13, 2018
Posts
22
Reaction score
4
Eti kwa anaejua zaidi mie ninazo gunia mbili, je namna ya uwekaji ni kama mbolea ya dukani au?
 
Hiyo ni aina mojawapo ya samdi. Uwekaji wake si sawa na mbolea ya viwandani kwa upande wa vipimo. Kama hujapabda zao lako chimba mashimo kisha weka samadi yako kiasi cha gao mbili yaani mikono miwili iliyojaa kwa kila shimo na changanya samadi na udongo mwagilia maji ndipo upande mbegu ama mche wa zao lako.
 
Hiyo ni aina mojawapo ya samdi. Uwekaji wake si sawa na mbolea ya viwandani kwa upande wa vipimo. Kama hujapabda zao lako chimba mashimo kisha weka samadi yako kiasi cha gao mbili yaani mikono miwili iliyojaa kwa kila shimo na changanya samadi na udongo mwagilia maji ndipo upande mbegu ama mche wa zao lako.
Wanadai kuwa ni Kali sana vipi haiwez kuunguza tikiti
 
Soma maelezo vizuri. Ndio maana unamwagilia maji baada ya kuchanganya na udongo
 
Sema tumieni hizo samadi zote sema msitumie mavi ya fisi,.Bora uyatumie kama chokaa upakae nyumba yako.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mimi nilishafanyia utafiti juu ya Mavi ya popo, Utafiti huo niliufanya baada ya Mavi hayo ya Popo kuniharibia miche yangu ya Mboga aina ya Chinnesse, ambapo baada ya Utafiti huo nilikuja kugundua kuwa Mbolea ya Popo ni Kali sana, hivyo lazima uwe Mwangalifu kwenye Kipimo, Kipimo inategemea na aina ya zao ulilolilima.
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuna kampuni flan ilitaka kununua/kukudisha kisiwa kisichokaliwa na watu ila popo pekee ila walizuiwa na setikali kwa sbb ya uwepo wa samadi hiyo ya popo.

So there's something beyond the eyes to see in this case. Jaribu kutlfuatilia zaidi kwenye hili
 
Eti kwa anaejua zaidi mie ninazo gunia mbili, je namna ya uwekaji ni kama mbolea ya dukani au?
Weka kwenye chombo Kama ndoo weka na maji iache ikae hata siku moja kesho yake nenda kaweke ile mbolea kiasi kidogo tu kwa mche maana ni Kali Sana

UKIWEKA NYINGI INAUNGUZA MICHE pia hakikisha aridhi unalowesha Kama hakuna mvua
 
Mimi nilishafanyia utafiti juu ya Mavi ya popo, Utafiti huo niliufanya baada ya Mavi hayo ya Popo kuniharibia miche yangu ya Mboga aina ya Chinnesse, ambapo baada ya Utafiti huo nilikuja kugundua kuwa Mbolea ya Popo ni Kali sana, hivyo lazima uwe Mwangalifu kwenye Kipimo, Kipimo inategemea na aina ya zao ulilolilima.
Sure

inabidi uweke kiasi kidogo tu kwa mche na maji pia uweke maana ukizubaa Miche yako kwisha habari yako
 
Wakuu mimi pia nina gunia tatu za mavi a popo nataka kutumia kama mbolea kwenye kilimo cha mboga mboga nipeni matumizi yake wapendwa
 
Back
Top Bottom