Nataka kujua kama kuna sheria juuu ya kuanzisha company ya it.

Nataka kujua kama kuna sheria juuu ya kuanzisha company ya it.

equator

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
209
Reaction score
124
Habari wanasheriana wengineo wa MMU .Mimi ni mdau wa mambo ya technologia na pia nina ka ujuzi kidogo. Nimekua na maswali mengi sana kichwani pangu kuhusu mambo ya sheria kuhusu mambo ya technical.Mimi swali langu kuuuubwa ni kwamba "Je kuna sheria katika kuanzisha makampuni ya ict mfano vile Kikuu,Jamiii forums , Jumia na zingine lukuki huku tanzania yaani mfano labda ujisajili ama kuna sheria za kuzingatia
Asante in advance
Wenu Mr Eqquator!
 
Lazima kutakuwa na sheria, labda kama umeshaisajili nchi nyingine, lakini kama ndio upo Tanzania na una wazo hilo sheria lazima zitakuwepo tu
 
Hata kwenda toilet kuna sheria Mkuu.
Nenda Brela ukapate utaratibu wa kuanzisha kampuni yako.
 
Wanajamii forum kama kuna mtu anauelewa wa kutengeneza App kwa ajili ya smartphones naomba anijulishe
Edward huduma ya kuhusiana na swala Laki unaweza ukanipata just pm me ntakupa contacts zangu
 
Back
Top Bottom