Nataka kujua kuhusu vifaa ujenzi

Nataka kujua kuhusu vifaa ujenzi

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Salaam waungwana!

Nina ndugu anataka afanye biashara hii na yeye ni mgeni kwenye hii kazi.
Sehemu anapo taka fungua biashara siyo mjini kiasi hicho japo makazi ya watu yapo ni huku mkoa wa Kilimanjaro.

sasa yeye anataka auze cement, na nondo tu pekee yake maana mtaji wake ni kiduchu sana, japo pango analo halipi kodi ya nyumba, anataka pia ajue yeye anawezaje nunua vifaa hivi cements na nondo kwa Bei rahisi.

Tunaomba mwenye ufahamu atupe ushauri kuhusu maswala mengine maana TRA wameshupalia hii biashara sana hata mtu akiwa na Mtaji kiduchu hawaamini.
 
Pia kwa anaye hitaji eneo kwa ajili ya kufyetua tofali lipo eneo kubwa tu la barabarani tuna toa buree kabisa, njoo ufyetue tofali ukihitaji kuinvest hapo....
 
Pia kwa anaye hitaji eneo kwa ajili ya kufyetua tofali lipo eneo kubwa tu la barabarani tuna toa buree kabisa, njoo ufyetue tofali ukihitaji kuinvest hapo....
Eneo lipo wapi chief? Na makubaliano ni kulitumia kwa muda gani? Lisije likawa ni pori nikaliandaa kwaajili ya kazi baada ya miezi miwili mwenyewe akawa analitaka?
 
Eneo lipo wapi chief? Na makubaliano ni kulitumia kwa muda gani? Lisije likawa ni pori nikaliandaa kwaajili ya kazi baada ya miezi miwili mwenyewe akawa analitaka?
Siyo pori lipo kilimanjaro karibu, makubaliano tumia mpaka uhamue ww kuhama.
 
Pia kwa anaye hitaji eneo kwa ajili ya kufyetua tofali lipo eneo kubwa tu la barabarani tuna toa buree kabisa, njoo ufyetue tofali ukihitaji kuinvest hapo....
Kaka ningependa nijue maeneo gani hayo
 
Back
Top Bottom