1.inapotokea umeenda polisi kupeleka malalamiko yako....pale charge room huwa kuna kitabu ambapo charge room officer huandika maelezo.nataka kujua
a.kile kitabu kinaitwaje?
b.ndani ya kile kitabu huwa nini hasa vinaandikwa?(ukinitajia vyote itakuwa bora zaid)
2.case inapofunguliwa,ndani ya lile file la case huwa ni vitu gani vinaandikwa?kama unafahamu unaweza kunisaidia hapa hapa au kwa kunipm au hata ukiniambia nikutafute fresh tu.
natanguliza shukrani
a.kile kitabu kinaitwaje?
b.ndani ya kile kitabu huwa nini hasa vinaandikwa?(ukinitajia vyote itakuwa bora zaid)
2.case inapofunguliwa,ndani ya lile file la case huwa ni vitu gani vinaandikwa?kama unafahamu unaweza kunisaidia hapa hapa au kwa kunipm au hata ukiniambia nikutafute fresh tu.
natanguliza shukrani