Nataka kujua kutengeneza kucha wakina dada

Nataka kujua kutengeneza kucha wakina dada

Professional Trader

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2016
Posts
1,220
Reaction score
1,120
Msaada jaman nilikua naomba kujuzwa au kufahamishwa pahala ambapo nitaweza kujifunza urembaji utengenezaji wa kucha wakina dada na ata men's wanaopenda dat kind of fashion
 
Msaada jaman nilikua naomba kujuzwa au kufahamishwa pahala ambapo nitaweza kujifunza urembaji utengenezaji wa kucha wakina dada na ata men's wanaopenda dat kind of fashion
Nenda mahali wanakotengenezea kucha kaa na wale vijana utajifunza sio kaz ngumu sana ila inakipato.
 
Wanao fanya hiyo kazi ya kuwa tengeneza kucha wadada...[emoji39] [emoji39] yaani hua wana faudu sana aiseee.....
 
Hapana kwenye kijiwe ninachoshinda kuna wanangu wanapiga hizi deals so ninaona
 
Ni pm mm ndio kazi ninayoifanya niko hapa makumbusho stendi.
Ila kuna malipo kidogo itabidi utoe.
 
Msaada jaman nilikua naomba kujuzwa au kufahamishwa pahala ambapo nitaweza kujifunza urembaji utengenezaji wa kucha wakina dada na ata men's wanaopenda dat kind of fashion
Huu ni uvivu uliopitiliza shika jembe uende shamba,hizi kazi za kucheza na vidole vya dada zetu waachie wanaume wa dar au na ww ni wa huko?
 
Huu ni uvivu uliopitiliza shika jembe uende shamba,hizi kazi za kucheza na vidole vya dada zetu waachie wanaume wa dar au na ww ni wa huko?
We lima tu mi kila kinachokua ni fursa kwngu nitafanya ata uko kulima wakat ukifka ntalima tu ndugu
 
Back
Top Bottom