Nataka kujua nini kilijadiliwa tarehe 12 na 26 Juni, 2023

Nataka kujua nini kilijadiliwa tarehe 12 na 26 Juni, 2023

101 East

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
1,057
Reaction score
2,221
Hii nimeitoa kwenye kifungu cha 6 cha waraka wa maaskofu kwenda Kwa serikali kifungu hichi kinaeleza Baada ya juhudi zao za mazungumzo Kati Yao na viongozi wa juu wa serikali tarehe tajwa hapo juu kutokuzaa matunda maaskofu imewapelekea kuachia walaka Huu kwenda kwa wananchi.

Kama walaka uvyoanza Kwa kauli mbiu ya: "Sauti ya Watu, Sauti ya Mungu"

Mimi mwananchi wa kawaida pangu pa pakavu tia mchuzi

1: Nataka kujua ni terms au masharti gani yaliyokuwemo kwenye meza ya mazungumzo Kati ya viongozi wa juu wa serikali na maaskofu kuhusu mkataba wa bandari?

2: Kwanini serikali haikuyatilia maanani Yale yaliyoletwa na maaskofu?

3: Kwanini maaskofu hawakutuambia Yale yote walioongea na serikali Katika tarehe tajwa hapo juu?

4: Kwanini iwe ni Siri kikao chenye maslahi ya taifa Kati ya serikali na maaskofu?

5: Baada ya kushindwana kwenye vikao hivi upande mmoja ukaona liwalo na liwe?

Mpaka giza linaingia sijapata majibu labda tusaidiane great thinkers wa JamiiForums

View attachment 2724157
 
Anza kufahamu mifumo iliyopo na inavyomiliki watu! Ukipata majibu fanya uchambuzi malengo ya mifumo kumiliki watu, utapata majibu kwamba binadamu ni bidhaa! Tuache dini tuache siasa kikubwa upate ugari wako!
 
Yaani aje mwekezaji anakupa "offer" ya Trilioni 26 halafu uikatae ?!!! [emoji15][emoji15]

Kweli chambilecho mh.Rais SSH ,hakuna mwenye misuli ya kuligawa taifa hili.....

#SiempreJMT[emoji120]
Trillion 26 ndo uuze bandari for all?

Trillion 26 Kwa miaka 3 inapatikana na ajira za wazawa zinalindwa.

Niwaambie hivi, jaribio Ovu la kuuza bandari URITHI wetu halitofanikiwa.

Tunapeleka mashtaka Kwa Mungu aliyeiumba Bahari na kutupa kama urithi!!

Atajibu Kwa utisho mkuu!!!

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom