Nao watafute,kwani ye kawazuiaKuwa mzee siyo dhambi wala kosa, ila kutuzidi kipato, uzuri na nk ndo kosa.
Kwa hiyo tutatafuta cha kukutukania.
Nao watafute,kwani ye kawazuia
ha ha ha ha ha diamond ana miaka 28Watu wana chuki sana jamani,hivi miaka 37 ni bibi?Au basi tu wametafuta kasoro wakakosa?Hao Team Hamisa na Wema hawana kazi ya kufanya.Wacha waendelee kumtukana ila wajue na wao umri hausimami na wakati haurudi.
Zari ana uzuri gani?Nao watafute,kwani ye kawazuia
Ana vuzi refu huyoooooo,meno yakitoka hapa kama kangiri flan hivet bana em chek alvo kigoli [emoji42][emoji42]
Nani kaongelea uzuri?Zari ana uzuri gani?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji7]Wanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
[emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji6]Mbona anahudhuria School bash ?
Le Mutuz ni dogo
Ha ha haaaaa....uwiiii mbavu zangu mieWanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
Hapo sasaKwani uzee ni kasoro.?
kwendraaaaet bana em chek alvo kigoli [emoji42][emoji42]
Polepole yupo below 25. Imagine akifikisha umri wa Tyson atakuwajeWanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we mwanamke kwanini unanirudisha kwenye umbea wakati nishaga acha? Comment yako imenivunja mbavu sana hapo kwa polepole. Aiiiii Mungu nisamehe. Nimemvutia picha nimecheka hadi machoziWanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
Tena kuna zile skeletoni za kule US zimeshupalia hilo jina kwelikweli...wakati ukizisimamisha kule biology lab Students hata hamjui hilo skeletoni ni la bibi au babu.Wanaomuita hivo sasa ukiwaangalia wako kama polepole hawajulikani ni vijana au wazee
Hivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi?
ZariHivi tukiwapanga hapa Zari,Wema,Mange,Lulu,Hamisa.
Kati ya hao kama hatuto wauliza umri nani anatakiwa kuitwa bibi?