nataka kujua

fred45

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
25
Reaction score
0
hivi ukutaka kuwa wakala wa tigo pesa,inagharimu kiasi gani, na mpesa inagharim kiasi gani, airtel pia,?
 
Itakuhitaji mtaji uisopungua laki 2 kwa mitandao yote kwani taratibu zao nyingi hufanana. Ila kwa hili ni vyema ungeenda ktk ofisi zao upate updates maana kuna baadhi ya taratibu hubadilika kila siku. Kila la kheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…