Nataka kukukopa ! ushauri please

Nataka kukukopa ! ushauri please

nguvumali

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2009
Posts
4,924
Reaction score
1,334
Natarajia kurudi Tanzania ili kuendesha maisha yangu yaliyobaki mpaka kitakapoeleweka.

Nina Kiwanja Kibaha Lower Density , nataka kukitumia Kuombea Mkopo kwenye Mabenki yetu ya Biashara ! Je Inawezekana ? Maana Nataka 20,000,000 niongezee kwenye Mtaji wangu ili nijiingize katika Biashara Ya Mazao ya Nafaka.

Je Mabenki watanikopesha ? Ushauri muhimu.
 
kiwanja kama hakina nyumba benki hawakubali kuwa security/collateral hatakamakina hati .... pia kama huna biashara unaendelea (existing) au wewe ni start-up sahau kukopeshwa na mabenki hapa bongo ... huu ndiyo ukweli ... karibu sana Tz
 
Ungewasiliana na banks kadhaa kwa kuwatumia email. Unahitaji valuation certificate pia nadhani.
 
Back
Top Bottom