Nataka kukukopa ! ushauri please

nguvumali

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2009
Posts
4,924
Reaction score
1,334
Natarajia kurudi Tanzania ili kuendesha maisha yangu yaliyobaki mpaka kitakapoeleweka.

Nina Kiwanja Kibaha Lower Density , nataka kukitumia Kuombea Mkopo kwenye Mabenki yetu ya Biashara ! Je Inawezekana ? Maana Nataka 20,000,000 niongezee kwenye Mtaji wangu ili nijiingize katika Biashara Ya Mazao ya Nafaka.

Je Mabenki watanikopesha ? Ushauri muhimu.
 
kiwanja kama hakina nyumba benki hawakubali kuwa security/collateral hatakamakina hati .... pia kama huna biashara unaendelea (existing) au wewe ni start-up sahau kukopeshwa na mabenki hapa bongo ... huu ndiyo ukweli ... karibu sana Tz
 
Ungewasiliana na banks kadhaa kwa kuwatumia email. Unahitaji valuation certificate pia nadhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…