Nataka kulala,sasa sijui nimgegede member gani ndotoni?

Nitatafuta mifupa ya nguruwe nitengeneze kama culture flan hivi ya shingoni nivae.
Nafikiri hapo hawatafanikiwa kunidhuru.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]we mshenzi utafanya niamshe watu kwa kicheko hahah mifupa ya nguruwe kuvaa kama kacha hahahha jaman aaaaiii
 
Hahaha kwa kweli we ndo umeniua mbavu hahahaa eti ndotoni unaweza ukamuona msichana mrembo mara gafla kaja bujibuji hahahhhahaha nimecheka sana,na nimecheka na mengi[emoji23] [emoji23] [emoji23]


giLEsi
Hivi unajua kuwa bado nacheka au hujui aisee hata sikutegemea kucheka kiasi hiki.
Ingekuwepo system ya voice note sijui ingekuaje jamani.
 
Hivi unajua kuwa bado nacheka au hujui aisee hata sikutegemea kucheka kiasi hiki.
Ingekuwepo system ya voice note sijui ingekuaje jamani.
Hahahhahaha mi ningeongoza kwa kelele[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…