Day care ndio INA soko kubwa Maana inabeba kila aina ya mtoto na watu wanafyatua kweli kweli!Nipo kusoma comments..
nina tarajio Kama lako ila Mimi babyday care hadi darasa la saba..
Kila la kheri
Njoo nikufundishe kila kitu - bure kabisa [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Nipo kusoma comments..
nina tarajio Kama lako ila Mimi babyday care hadi darasa la saba..
Kila la kheri
HahahahahaNjoo nikufundishe kila kitu - bure kabisa [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Ukweli kabisa mkuuDay care ndio INA soko kubwa Maana inabeba kila aina ya mtoto na watu wanafyatua kweli kweli!
Fake IDs zaweza kukubishanisha hata na huyo huyo ONTARIO mwenyewe lakini usiweze kujua sababu kuna mawatu yanatumia multiple Ids humu.
Mtaji nitaanza kidogo kidogo,mfano eneo nilishalinunua la kuanzia.Nia ekelari 15 kwahyo nataka nipate kujua chalenges na kukomaa kwa kupata maarifa ya ziada.Tafuta mtaji wewe.. Unadhan hivyo vitabu vitajenga madarasa??
Daah we jamaa umeona mbali sana,nilishawahi kumwambia humu JF huyo Controla ndio huyo huyo Ontario.
Wewe the list hii id yako nyengine.Daah we jamaa umeona mbali sana,nilishawahi kumwambia humu JF huyo Controla ndio huyo huyo Ontario.
Wewe the list hii id yako nyengine.
Day care ndio INA soko kubwa Maana inabeba kila aina ya mtoto na watu wanafyatua kweli kweli!
Hizi nazo zinahitaji usajili ama nateua tu chumba kimojawapo kwenye nyumba yangu naanza kupiga kazi?Ukweli kabisa mkuu